Wednesday, January 1, 2014

On 2:04 PM by Shambani Solutions   No comments
Shambani Solutions Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Tanzania Graduate Farmers Association (TGFA), Agri-ProFocus Tanzania, Netherlands Development Organization(SNV), IBUTTI na 4-H Tanzania tuliweza kufanikisha kufanyika kwa kongamano la Vijana katika kilimo Biashara Mkoa wa Manyara 

Kongaman lililoshirikisha vijana kutoka maeneno mbalimbali ya Mkoa. Mgeni rasmi alikuwa Mkurugenzi wa Mji wa Babati ndugu Omary Mkombole
 
Dhumuni ya kongamano hili ni kuwahamasisha na kuwakutanisha vijana mbalimbali wanaojishughulisha na kilimo katika Mkoa wa Manyara na Mikoa ya Jirani, kujadili fursa mbalimbali zilizopo katika sekta ya kilimo pamoja na kuangalia changamoto zinazokwamisha vijana kushiriki katika kilimo.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ndugu Omary Mkombole akiwa na mmoja wa waliofanikisha Kongamano Hilo kutoka Taasisi ya Maendeleo ya watu wa uholanzi Ndugu TOM
Washiriki wakiwakilisha makundi mbalimbali ya Vijana walihudhuria Kongamano
Mkurugenzi wa Mji wa Babati Liyevaa Koti Jeusi akikagua bidhaa mbalimbali zilizoletwa na vijana katika maonyesho

Muwakilishi kutoka ofisi ya MKuu wa Mkoa Injinia Norbert Kyomoshora akiwasirisha topic iliyohusu fursa mbalimbali za kilimo zilizopo katika mkoa wa Manyara
Wadau wakifuatila kwa makini sana
Nyuso za Furaha kutoka kwa baadhi ya washiriki wa kongamano hilo - Kutoka kushoto Mwambola johnson, Tom, Deo Haule na juma Ngomuo
Mkurugenzi akiwaongoza washiriki mbalimbali kuangalia bidhaa zinazozaliwa na Vijana mbalimbali

0 comments:

Post a Comment